- Ofa ya BAO inapatikana kupitia *149*15# tu.
- Ofa ya BAO inapatikana mikoa yote ya Tanzania Bara.
- Wateja za Zantel Zanzibar hawataona ofa hii.
ofa ya bao
Zantel inawawezesha wateja wake kunufaika kwa kuendelea kuwaunganisha. Tunawawezesha wateja wetu kunufaika na kifurushi hiki. Kunufaika katika maeneo yao ya kazi. Kunufaika katika mahusiano yao. Kunufaika katika biashara zao, kunufaika katika vitu wapendavyo kufanya na maisha ya kila siku kwa ujumla. Hijalishi jinsi ilivyo, tunawahabarisha kwamba Zantel ipo kwa ajiri ya kuwasaidia wao kunufaika. Huu ndio umuhimu wa BAO!
Ofa Zingine
BEI | DATA | DAKIKA ZANTEL-ZANTEL | zantel kwenda mitandao yote | SMS | MUDA WA KUDUMU |
---|---|---|---|---|---|
TSH 1,000 | MB 50 | 55 | DAKIKA 45 | 100 | Siku 7 |
TSH 1,000 | GB 1 | 15 | DAKIKA 5 | 100 | Siku 3 |
Muda wa kudumu – Vifurushi vitadumu kwa jinsi vilivyonunuliwa.