Naibu Waziri wa Mawasiliano na Usafirishaji wa Zanzibar, Mohammed Ahmada akishuhudia makabidhiano ya mkataba wa kuunganishwa kwenye mkongo wa taifa kati ya Pemba na Tanga kuboresha mawasiliano kisiwa cha Pemba kati ya Mkuu wa Zantel-Zanzibar, Mohammed Mussa (Kulia) na Mkurugenzi wa Wakala wa Miundombinu ya Mawasiliano (Tehama), Mhandisi Shuku...
soma zaidi